Ticker

6/recent/ticker-posts

YANGA YAANZA VYEMA MAPINDUZI CUP 2023 YAPATA POINTI KIBABE

 


VINARA wa Ligi Kuu Tanzania bara timu ya Yanga SC imeanza vyema katika  Michuano ya Kombe la Mapinduzi CUP 2023 baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya KMKM mchezo uliopigwa uwanja wa Amani mjini Zanzibar.

Yanga wamepata bao katika  dakika za lala salama 90+5 likifungwa na Dickinson Ambundo

Kwa ushindi huo Yanga wanahitaji ushindi dhidi ya Singida Big Stars ili kutinga hatua ya nusu fainali.

Singida Big Stars wanaongoza Kundi wakiwa na Pointi 3 sawa na Yanga ila wakiwa na uwiano wa kufunga mabao. 

Post a Comment

0 Comments