Na Mapuli Misalaba, Shinyanga
Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (SPC) leo
Alhamisi Mei 18,2023 inaadhimisho siku
ya uhuru wa vyombo vya habari Mkoa wa Shinyanga.
Maadhimisho hayo yana ambatana na kauli mbiu “Kuunda Mustakabali wa haki,
uhuru wa kujieleza kama kichocheo cha haki nyingine zote za kibinadamu”.
Maadhimisho hayo yanafanyika katika ukumbi wa mkuu wa
Mkoa wa Shinyanga na kwamba yanaadhimishwa kwa njia ya mkutano uokwenda sanjali
na mjadala wa mada isemayo “Uhuru wa kujieleza ni ustawi wa maendeleo ya Mkoa
wa Shinyanga” ambapo washiriki kutoka sekta mbalimbali watabainisha maeneo
yanayopaswa kufikiwa na vyombo vya habari.
Mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya uhuru wa
vyombo vya habari Mkoa wa Shinyanga ni mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari
Samizi akimwakilishi mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme.
Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (SPC) ni mdau mkubwa wa maendeleo kwa Mkoa wa Shinyanga kwa kujikita katika shughuli za uhabarishaji kwa jamii na kuunganisha jamii na serikali kupitia kalamu ya vyombo vya habari.
Mgeni rasmi, Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akifungua mkutano katika ukumbi wa mkuu wa Mkoa wa Shinyanga leo Mei 18,2023.
Mwenyekiti wa klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa
Shinyanga (SPC) Bwana Greyson Kakulu akisoma risala.
Mkutano maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya
habari Mkoa wa Shinyanga ikiendelea leo Alhamisi Mei 18,2023.
Mkutano maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya
habari Mkoa wa Shinyanga ikiendelea leo Alhamisi Mei 18,2023.
Mkutano maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya
habari Mkoa wa Shinyanga ikiendelea leo Alhamisi Mei 18,2023.
Mkutano maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya
habari Mkoa wa Shinyanga ikiendelea leo Alhamisi Mei 18,2023.
Mkutano maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya
habari Mkoa wa Shinyanga ikiendelea leo Alhamisi Mei 18,2023.
Mkutano maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya
habari Mkoa wa Shinyanga ikiendelea leo Alhamisi Mei 18,2023.
Mkutano maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya
habari Mkoa wa Shinyanga ikiendelea leo Alhamisi Mei 18,2023.
Mkutano maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari Mkoa wa Shinyanga ikiendelea leo Alhamisi Mei 18,2023.
Post a Comment