TAZAMA VIDEO HII
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Wilaya ya Shinyanga mjini, kesho kitafanya uchaguzi wa viongozi wa nafasi mbalimbali ngazi ya jimbo na mabaraza ya chama.
Nafasi zitakazogombewa ni
pamoja na nafasi ya Mwenyekiti, katibu, katibu wa siasa na uenezi, pamoja na
viongozi wa mabaraza ya chama hicho.
Akitoa taarifa hiyo
msimamizi wa uchaguzi jimbo la Shinyanga mjini Charles Bullet amesema uchaguzi
huo umetanguliwa na zoezi la usaili wa wagombea katika nafasi hizo za jimbo.
Post a Comment