Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu, kesho Jumapili tarehe 02.06.2024, ataongoza Misa takatifu ya Ekaristi takatifu katika Kanisa Kuu la Mama mwenye huruma, Ngokolo mjini Shinyanga.
Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu, kesho Jumapili tarehe 02.06.2024, ataongoza Misa takatifu ya Ekaristi takatifu katika Kanisa Kuu la Mama mwenye huruma, Ngokolo mjini Shinyanga.
BS- Africa Water Filters imekusogezea karibu ndoo maalumu za kuchujia maji ya kunywa majumbani ambapo kulazimika kuchemsha maji.
Ndoo (filters) hizi hazitumii umeme, hazitumii kemikali wala dawa, zinachuja maji na yanakuwa safi na salama.
Ndoo hizi ni rahisi kuzitumia na ni rafiki kwa mazingira.
Punguza gharama za kununua maji lakini pia kuchemsha maji kwa kutumia Filters hizi.
Tunapatikana Majengo Mapya Mjini Shinyanga.
Kwa waliopo nje ya Shinyanga utatumiwa mzigo wako kwa wakati na usalama kabisa.
Mawasiliano WhatsApp namba 0654029516 au piga simu namba 0753392805
Chaguo sahihi kwa ajili ya familia yako, ishi kisasa.
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu misalabamedia@gmail.com au Whatsapp namba 0745594231
0 Comments