NYAMASIRIRI AWASILISHA BAJETI HALMASHAURI KUU 2023/2024


Diwani wa Kata ya Isamilo Nyamasiriri Charles amewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi Mwaka 2022/2023 ambacho kimewasilishwa Kata ya Isamilo Nyanyama Plaza Mkoani Mwanza

Akizungumza wakati akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji Diwani uyoo ameishukuru Serikali ya awamu ya Sita Kwa kuleta Maendeleo ya Jamii kutekeleza Sheria ya utoaji Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake,Vijana na watu wenye Ulemavu na kuwajengea uwezo na kuwapa Mafunzo ya wajasiliamali 

Lakini pia Charles alishukuru Mhe, Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Staslaus Mabula Kwa kujitaidi kuleta Maendeleo kwenye Kata iyooo ikiwemo kutenga Fedha za Ujenzi wa Vyumba vitatu (3)vya Madarasa

Hata hivyo Pamoja na jitihada hizo Chama Cha Mapinduzi Chini ya Dkt Samia Suluhu ameendelea kuleta Fedhi za Nyingi za Maendeleo alisema Diwani Nyamasiriri wakati akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji ya Halmashauri Kuu .















Previous Post Next Post