Na Neema Kandoro Mwanza
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ( Ccm) amewataka Wananchi kujitokeza Kwa Wingi katika kujiandika kwenye Daftari la Wapiga kura
Akizungumza Jana jijini Mwanza 25/6/2024 katika maeneo tofauti Kata ya Luchelele, Mkoani, Buhongwa,Rwanima Kishili na Mahina alipokuwa akikabidhi Mifuko 320 na Lori 2 za Mchanga Kwa ajiri ya Ujenzi wa ofisi za Chama Ngazi ya Kata ambapo Kila kata ilipata Mifuko 40
Qwihaya alisema ni jukumu la Kila Mtanzania kuhakikisha anajiandikisha katika Daftari la wapiga kura Ili uweze kupiga kura ni Lazima uwe umejiandikisha hivyo tunahakikishe tunaenda kwenye vituo vyetu vya kujiandikisha Kwa ajiri ya Maandalizi ya Upigaji kura.