Ticker

6/recent/ticker-posts

SERIKALI YA AWAMU YA SITA IMEFANYA MAMBO MAKUBWA MNO

Mhe, Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Geita Rose Vincent ameipongeza  Serikali ya awamu ya Sita chini ya Daktari Mama Shupavu Dkt Samia Suluhu Hassani Kwa kuwaona  Wajasiliamali.

Akizungumza jana Mkoani Geita  Wilaya ya Nyangwa'le,Rose Vicent wakati wa Ziala ya Waziri Mkuu Mhe, Kassimu Majaliwa (Mb )alipokuwa anazungumza na Wananchi wa Nyangw'ale  Mkoani Geita amesema Serikali ya awamu ya Sita Chini ya Dkt Samia Suluhu Hassani Imefanya Mambo makubwa  Sana  kwenye Mkoa wa Geita.

 Vicent alisema Hata hivyo Wananchi walikuwa na kilio kikubwa juu ya uwezeshaji wa Mikopo Ili kuwarahisishia Wananchi  kujikwamua na Mikopo ya kausha Damu,ambayo Imekuwa ikiwatesa sana Wanawake na kuwapelekea Vitu vyao vya Ndani kubeba, lkn pia ndoa Nyingi kuvunjika Kwa Sababu ya  Mikopo ya kausha damu.

Hivyo bhac Wananchi wa Mkoa wa Geita tuna Kila Sababu ya Kumwamini Dkt Samia Suluhu Hassani Kwa kazi aliyoifanya  shukhurani yetu tutamlipa kula Kwa kura  Nyingi na Kuhakikisha anashinda Kwa Kishindo.

Lakini pia Vincent ameongoza Zoezi la Kuchangisha Wakina Mama Mkoa wa Geita Lengo ikiwa ni kumwakikishia kuwa wako Pamoja nae 2025 na  yeye kama Mbunge alitoa laki6, Wananchi walichanga laki6 Jumla Alipata Sh Million 1 na laki2 kutoka Kwa Wananchi wa Mkoa wa Geita.

Post a Comment

0 Comments