Ticker

6/recent/ticker-posts

WAZIRI MKUU KUTEMBEA MIRADI YA MAENDELEO MKOANI GEITA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Kassimu Majaliwa (Mb) amezindua jengo la Halmashauri Wilaya ya Nyangw'ale akizungumza na wananchi wa Katoro Mkoani Geita Jana wakati wa Ziala yake ya kuzindua Miradi Mbalimbali Ikiwemo jengo la Utalawa la Halmashauri ya Nyangw'ale.

Akizungumza na Wananchi  wa mji Mdogo wa Katoro Waziri Mkuu amesema Serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dkt Samia amesema Serikali ipo Imara na Inaendelea kutekeleza Miradi ya Kimkakati.

Akizungumza  Jana  Mkoani Geita  wakati wa ziala yake amesema utekelezaji wa Miradi hiyo utawezesha Wananchi wa kutekeleza Majukumu yao kikamilifu na kushiriki katika Shughuli zako za kiuchumi.

Naye Mhe, Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Geita Rose Vincent amesema anaipongeza Serikali ya awamu ya Sita Kwa kujenga kituo Cha wakina Mama.

Vincent Amesema yeye kama Mwakilishi wa Wanawake Mkoa wa Geita amechanga Sh  Laki6 Kwa ajili ya Kuchangia Mhe, Rais Kwa ajiri ya kuchukua Form ya kugombea Urais.



 

Post a Comment

0 Comments