Ticker

6/recent/ticker-posts

MBUNGE AWATAKA VIJANA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA


Hussein kanyasu Ambae ni Mbunge wa Jimbo la Nyangw'ale Mkoani Geita amewataka Vijana kujitokeza Kwa Wingi katika Daftari la kudumu la Wapiga kura

Hussein Nassor ameyasema 2/7/2024 Leo wakati akizungumza na umoja wa Vijana (Uvccm )kuwa Vijana ndiyo Nguvu kazi hivyo wajitokeze Kwa wingi na kuwataka wawe na Uzalendo kwenye Nchi yetu 

Lakin pia Naye Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Uvccm Wilaya ya Nyangwa'le Kaswahili Enock amepongeza Mbunge uyoo Kwa kukubali Mwaliko wao kuwa Mgeni Rasmi hakika Ushauri wa Mhe, Mbunge Wataufanyia kazi.

Post a Comment

0 Comments