Ticker

6/recent/ticker-posts

ORODHA YA WAKUU WA MKOA WA SHINYANGA PAMOJA NA MIAKA WALIYOHUDUMU

Orodha ya Wakuu wa Mkoa wa Shinyanga kuanzia mwaka 1963 hadi sasa. Orodha hiyo inaonyesha majina ya viongozi waliowahi kushika nafasi ya ukuu wa mkoa huo pamoja na miaka waliyohudumu. Orodha hiyo ni kama ifuatavyo:

1. Mhe. Casian Mikullo Kapilima - 1963-1965

2. Mhe. Chief Humbi Ziota - 1965-1968

3. Mhe. Mustapha Songambele - 1968-1970

4. Mhe. Hussein Mungi - 1970-1972

5. Mhe. Rugimbana - 1972-1973

6. Mhe. Mabawa Marco - 1973-1976

7. Mhe. Bruno Mpangala - 1976-1979

8. Mhe. Sebabili Gwasa - 1979-1982

9. Mhe. Shindika Timothy - 1982

10. Mhe. Chief Charles Masanja - 1982-1989

11. Mhe. Nichodemus Banduka - 1989-1993

12. Mhe. Dkt. Pius Ng’wandu - 1993

13. Mhe. Marcel Komanya - 1993-1994

14. Mhe. Gen. Tumaini Kiwelu - 1994-1999

15. Mhe. Mohamed Babu - 1999-2003

16. Mhe. Abubakar Mgumia - 2003-2006

17. Mhe. Dkt. Yohana Balele - 2006-2011

18. Mhe. Ally Nassoro Rufunga - 2011-2016

19. Mhe. Anne Kilango Malecela - 2016

20. Mhe. Zainab R. Telack - 2016-2021

21. Mhe. Dr. Philemon R. Sengati - 2021

22. Mhe. Sophia Edward Mjema - 2021-2023

23. Mhe. Christina S. Mndeme - 2023-2024

24. Mhe. Anamringi J. Macha - 2024 -

Orodha hii inaonyesha historia ya viongozi wa Mkoa wa Shinyanga kuanzia mwaka 1963 hadi 2024, ikiwa na majina ya watumishi muhimu waliokuwa wakiongoza mkoa huo katika vipindi mbalimbali.

Post a Comment

0 Comments