Na Belnardo Costantine, Misalaba Media
Spika wa Bunge jamhuri ya muungano wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt.Tulia Acksoni .
amesema chama cha mapinduzi "CCM" imejipanga kuhakikisha kinaendelea kushika dola katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kwa kuwa kazi iliyofanywa na Serikali inatosha kutangaza sera za ushindi.
Dkt. Tulia ameyasema hayo Leo tarehe 20 mwezi wapili mwaka huu, akizungumza na wanachama wa CCM katika Ukumbi wa CCM Hanyegwamchana baada ya kuhitimisha ziara yake ya kikazi katika Mkoa wa Kusini Unguja
Post a Comment