" CHAMA CHA MAPINDUZI KUPITIA JUMUIYA YA WAZAZI KATA YA KAGONGWA KUZINDUA MRADI WA VITI

CHAMA CHA MAPINDUZI KUPITIA JUMUIYA YA WAZAZI KATA YA KAGONGWA KUZINDUA MRADI WA VITI

Chama Cha Mapinduzi Kupitia Jumuiya ya Wazazi kata ya Kagongwa 

wanayo
Furaha Kukualika Mwana CCM  Kuhudhuria Tukio kubwa la Jumuiya ya Wazazi kata ya Kagongwa 

Tukio la Uzinduzi wa Mradi wa Viti waliobuni viongozi wa Jumuiya hiyo,  utaweza kukisaidia Chama na jumuia zake  katika Shughuli mbali mbali.

Mgeni rasmi wa Tukio hilo ni Ndg John Siagi Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Shinyanga 

Hivyo nyote mnakaribishwa, tuungane pamoja.

Imetolewa na;

Comred Tausi Magalula

katibu wa Jumuiya ya Wazazi kata ya Kagongwa

Post a Comment

Previous Post Next Post