Uongozi wa shule hiyo umetoa shukrani za pekee kwa mbunge huyo kwa kusaidia kuhakikisha wanafunzi wa kike wanakuwa na hedhi salama, hatua inayowasaidia kuzingatia masomo yao bila vikwazo.
MBUNGE JESCA KISHOA ATOA MSAADA WA TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI WA NKINTO
Misalaba
0
Post a Comment