Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara Februari 27, 2025.
Na Mapuli Kitina Misalaba
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,
ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana
na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi, ameendelea na ziara yake
ya kutembelea kata mbalimbali za jimbo hilo, ambapo leo amefanya ziara katika
kata ya Ngokolo na Ibinzamata.
Katika mkutano wa hadhara
uliofanyika kata ya Ngokolo, Katambi amekabidhi baiskeli za magurudumu matatu
kwa watu wenye ulemavu, akiwemo mwanamke mmoja ambaye kwa zaidi ya miaka saba
hajawahi kutoka nje ya nyumba yake.
Aidha Akiwa katika ziara hiyo, Katambi ameendelea kueleza
utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha miaka minne, huku
akiahidi kuendelea kutatua kero zilizobaki.
Kwa upande wake, Diwani wa Kata ya
Ngokolo, Mhe. Victor Mkwizu, amesema zaidi ya shilingi bilioni moja zimetumika
katika miradi mbalimbali ya maendeleo, ikiwemo:
Amesema zaidi
ya milioni 400 kwa ajili ya kuboresha miundombinu
ya shule za msingi na sekondari, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa madarasa, vyoo,
viti na meza pia amesema zaidi ya
milioni 600 kwa ajili ya ujenzi wa soko la mitumba, choo cha soko la
mitumba, na stendi ndogo mpya katika eneo hilo.
Pia Uboreshaji
wa miundombinu ya barabara, ikiwa ni
pamoja na ujenzi wa mitaro, madaraja, kalvati, na kuweka vifusi katika barabara
zilizoharibika.
Mradi wa
urasimishaji ardhi, hususan kwa mitaa ya Majengo
Mapya, Mageuzi, Kalonga na Mwadui, ambapo wananchi wamehimizwa kufika ofisi za
serikali za mitaa ili kupata hati miliki za viwanja vyao.
Baadhi ya wakazi wa Ngokolo
wametumia fursa hiyo kueleza changamoto mbalimbali zinazowakabili, huku wataalam kutoka taasisi husika wakiahidi
kuzifanyia kazi.
Miongoni mwa kero zilizotolewa ni
pamoja na Bili za maji kutoka
SHUWASA na usomaji wa mita ambapo Angel Mwaipopo kutoka SHUWASA ameahidi
kufuatilia suala hilo ili kuhakikisha wananchi hawalipishwi gharama
zisizoeleweka.
Ubovu wa
miundombinu ya barabara ambapo Mwakilishi wa TARURA
ameeleza kuwa changamoto hizo zipo kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025,
hivyo wananchi wametakiwa kuwa na subira.
Changamoto
ya urasimishaji wa ardhi ambapo Mwakilishi wa Idara ya Ardhi
amekiri kuwa bado kuna maeneo ambayo hayajarasimishwa, lakini zoezi hilo
linaendelea na wananchi wametakiwa kujiandikisha kwa ajili ya kupatiwa hati
miliki lakini pia Malipo ya fidia kwa
wananchi na kwamba ameahidi kufuatilia malalamiko ya wananchi ambao
hawajalipwa fidia na kuhakikisha suala hilo linashughulikiwa ipasavyo.
Huduma
duni hospitalini baadhi ya wananchi wamedai kuwa
baadhi ya wahudumu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga wamekuwa
wakitoa lugha zisizo na staha kwa wagonjwa ambapo Katambi ameahidi
kushughulikia suala hilo ndani ya siku nne.
Akihitimisha mkutano huo, Katambi
amewahakikishia wananchi kuwa ataendelea kusimamia utekelezaji wa miradi ya
maendeleo na kutatua changamoto zinazowakabili.
"Nawahakikishieni kuwa mimi
mbunge wenu, msiwe na shaka kabisa. Nitahakikisha changamoto zenu
zinashughulikiwa. Tunataka kufanikisha lengo la Shinyanga kuwa jiji, na ili
tufikie hapo, ni lazima tubadilishe mji wetu kwa maendeleo endelevu," alisema Katambi.
Katika mkutano huo, viongozi
mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM
Wilaya ya Shinyanga Mjini, Mhe. Anord Makombe, wamehudhuria.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,
ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana
na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi, awali akizungumza kwenye
kikao cha ndani Februari 27, 2025.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,
ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana
na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi, awali akizungumza kwenye
kikao cha ndani Februari 27, 2025.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,
ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana
na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi, akisalimiana na wakazi
wa kata ya Ngokolo baada ya kuwasili katika mkutano wa hadhara.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,
ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana
na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi, akisalimiana na wakazi
wa kata ya Ngokolo baada ya kuwasili katika mkutano wa hadhara.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,
ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana
na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi, akisalimiana na wakazi
wa kata ya Ngokolo baada ya kuwasili katika mkutano wa hadhara.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,
ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana
na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi, akisalimiana na wakazi
wa kata ya Ngokolo baada ya kuwasili katika mkutano wa hadhara.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,
ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana
na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi, akisalimiana na wakazi
wa kata ya Ngokolo baada ya kuwasili katika mkutano wa hadhara.
Mkazi wa kata ya Ngokolo akiuliza
maswali kwenye mkutano wa hadhara ambao umeandaliwa na Mbunge wa Jimbo la
Shinyanga Mjini, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
(Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi.
Mkazi wa kata ya Ngokolo akiuliza
maswali kwenye mkutano wa hadhara ambao umeandaliwa na Mbunge wa Jimbo la
Shinyanga Mjini, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
(Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi.
Mkazi wa kata ya Ngokolo akiuliza
maswali kwenye mkutano wa hadhara ambao umeandaliwa na Mbunge wa Jimbo la
Shinyanga Mjini, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
(Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi.
Mkazi wa kata ya Ngokolo akiuliza
maswali kwenye mkutano wa hadhara ambao umeandaliwa na Mbunge wa Jimbo la
Shinyanga Mjini, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
(Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi.
Mkazi wa kata ya Ngokolo akiuliza
maswali kwenye mkutano wa hadhara ambao umeandaliwa na Mbunge wa Jimbo la
Shinyanga Mjini, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
(Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi.
Mkazi wa kata ya Ngokolo akiuliza
maswali kwenye mkutano wa hadhara ambao umeandaliwa na Mbunge wa Jimbo la
Shinyanga Mjini, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
(Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi.
Mkazi wa kata ya Ngokolo akiuliza
maswali kwenye mkutano wa hadhara ambao umeandaliwa na Mbunge wa Jimbo la
Shinyanga Mjini, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
(Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi.
Mkazi wa kata ya Ngokolo akiuliza
maswali kwenye mkutano wa hadhara ambao umeandaliwa na Mbunge wa Jimbo la
Shinyanga Mjini, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
(Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi.
Mkazi wa kata ya Ngokolo akiuliza
maswali kwenye mkutano wa hadhara ambao umeandaliwa na Mbunge wa Jimbo la
Shinyanga Mjini, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
(Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara Februari 27, 2025.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,
ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana
na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi, akizungumza kwenye
mkutano wa hadhara Februari 27, 2025.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,
ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana
na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi, akizungumza kwenye
mkutano wa hadhara Februari 27, 2025.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,
ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana
na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Paschal Patrobas Katambi, akizungumza kwenye
mkutano wa hadhara Februari 27, 2025.
Post a Comment