MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Thereza Lusangija ameipongeza Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa Utekelezaji mkubwa wa miradi ya Maji katika eneo hilo.
Alisema hayo hivi karibuni wilayani hapo kutokana na kukamilika kwa miradi mbalimbali ya maji kwenye halmashauri hiyo na hivyo kumtua ndoo ya maji kichwani Mwanamke.
Post a Comment