" MWENYEKITI WA SMAUJATA TAIFA SHUJAA SOSPETER BULUGU AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI MBALIMBALI MKOANI SHINYANGA

MWENYEKITI WA SMAUJATA TAIFA SHUJAA SOSPETER BULUGU AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI MBALIMBALI MKOANI SHINYANGA


UTEUZI

Mwenyekiti wa SMAUJATA Taifa  shujaa Dr. Sospeter Bulugu amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali kwa nafasi za wenyeviti, makatibu na wakuu wa idara SMAUJATA Mkoa wa Shinyanga kama ifuatavyo:

UONGOZI WA MKOA

Nabila Kisendi – Mwenyekiti

Vicenti B. Kanyogote – Makamu Mwenyekiti

Steven Sospeter – Naibu Katibu

VIONGOZI WA IDARA

Idara ya Watu Wenye Ulemavu

Richard J. Mpongo – Mwenyekiti

Rehema Mkengele – Katibu


Idara ya Sheria na Katiba

Adv. Shaban Abdul Mvungi – Mwenyekiti

Wakili Rose Wilbard – Katibu


Idara ya Afya

Dr. Yohana M. Bunzali – Mwenyekiti

Haika Matemba – Katibu


Idara ya Nidhamu na Maadili

Solomoni Najulwa Nalinga – Mwenyekiti

Peter Bubinza Mangalu – Katibu


Idara ya Itifaki, Uenezi na Uanachama

Hakimu Mwarabu – Mwenyekiti

Tumain Ezekiel Mchiwa – Katibu


Idara ya Maafa

Mch. Esther Emmanuel Mashori – Mwenyekiti

Hassan Baruti Hamis – Katibu


Idara ya Jinsia

Alkwin Selestino Willa – Mwenyekiti

Eunice Manumbu – Katibu


Idara ya Habari na Mawasiliano

Mapuli Kitina Misalaba – Mwenyekiti
Suleiman Abedi - Katibu 

Idara ya Uchumi na Mipango

Shida T. Siyengo – Mwenyekiti

Lucas Daudi – Katibu


Idara ya Mifumo na Teknolojia

Shaban Alley Juma – Mwenyekiti

Renatus Robert George – Katibu


Idara ya Tathmini na Ufuatiliaji

George Ntemi – Mwenyekiti

Yohana Peter – Katibu
Mr. Nzemo - Mjumbe

Idara ya Mazingira

Frank Dickson Msangi – Mwenyekiti

Saraphina Benua Samson – Katibu


Idara ya Vijana, Hamasa na Mahusiano ya Kimataifa

Leonard J. Mapolu – Mwenyekiti

Angelina Makaka – Katibu


Idara ya Mila na Desturi

Hamad Ramadhan Seleman – Mwenyekiti

Yuel N. Mnyonge – Katibu


Idara ya Elimu

Leah Nchenya Ndongo – Mwenyekiti

Michael Leonard Kasoni – Katibu


Idara ya Saikolojia na Elimu kwa Umma

Lydia Mwamsiku – Mwenyekiti

Shamika Hilaly Juma – Katibu


Idara ya Michezo, Sanaa na Burudani

 Christopher Mundeda– Mwenyekiti

James Onyango Meshack – Katibu

Uteuzi huu bado unaendelea na viongozi wengine watatangazwa kadri mchakato unavyoendelea

Post a Comment

Previous Post Next Post