" TANGAZO: KONGAMANO LA MAADILI MJINI SHINYANGA

TANGAZO: KONGAMANO LA MAADILI MJINI SHINYANGA

Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Bi. Doris Yotham Kibabi, anawalika katika Kongamano la Maadili litakalofanyika tarehe 25 Februari 2025 kuanzia saa 3:00 asubuhi katika Ukumbi wa Mikutano wa Lyakale Hotel.

Kongamano hili litajadili mada muhimu zifuatazo:

✅ Rushwa
✅ Utawala Bora
✅ Malezi na Makuzi
✅ Uwekezaji na Uchumi
✅ Elimu
✅ Mazingira
✅ Uhai wa Chama na Jumuiya zake

Usikose fursa hii muhimu.

Post a Comment

Previous Post Next Post