" VIGOGO WA YANGA WAONYWA

VIGOGO WA YANGA WAONYWA


Na BelnardoCostantie, Misalaba Media 

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa ligi Tanzania "TPLB",imewapa Onyo kali viongozi wa klabu ya Yanga kufuatia kitendo  cha kuingia Uwanjani katika eneo la kuchezea "Pitch Area" ,wakati  wa mechi kati ya Yanga na Singida black Stars iliopigwa kwenye Uwanja wa "KMC" Mwenge ambapo yanga  iliongoza Kwa  ushindi wa magoli 2-1.

Taarifa hiyo imetoka  leo ya ,Februari 23, 2025  na Kamati hiyo kufuatia kikao chake cha Februari 21, 2025 imeeleza kuwa viongozi hao wa klabu ya Yanga walioingia uwanjani walisababisha kukosekana kwa utulivu wakati wa mahojiano ya mdhamini mwenye haki za matangazo ya runinga.



Post a Comment

Previous Post Next Post