" DKT. BULUGU AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI WA SMAUJATA KANDA YA ZIWA - SHINYANGA, GEITA, MWANZA, SIMIYU, KAGERA NA MARA

DKT. BULUGU AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI WA SMAUJATA KANDA YA ZIWA - SHINYANGA, GEITA, MWANZA, SIMIYU, KAGERA NA MARA

UTEUZI WA VIONGOZI WA SMAUJATA KANDA YA ZIWA

Mwenyekiti wa SMAUJATA Taifa, Dkt. Sospeter Mosowe Burugu, amefanya uteuzi wa baadhi ya viongozi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa kama ifuatavyo:

MKOA WA SHINYANGA

  • Madam Nabila Kisendi – Mwenyekiti
  • Hakimu Muhimbili Mwarabu – Makamu Mwenyekiti
  • Nyanda George Nyanda – Katibu wa Mkoa
  • Leah Nchenya Ndongo – Naibu Katibu wa Mkoa
  • Frank Msangi – Mkurugenzi wa Itifaki, Uenezi na Uanachama
  • Christopher Jonathan Mundeda – Mwenyekiti wa Idara ya Elimu
  • Thomas Debora Nyitati – Mwenyekiti wa Teknolojia na Mifumo
  • Angelina Boniface Makaka – Mwenyekiti wa Idara ya Hamasa Vijana na Mahusiano ya Kimataifa

MKOA WA GEITA

  • Frank Frugens Kabiligi – Mwenyekiti
  • Amosi Samweli Magige – Makamu Mwenyekiti
  • Jastine Stanslus Katunzi – Katibu wa Mkoa
  • Laurencia Zacharia Kahindi – Naibu Katibu wa Mkoa
  • Alex Modest Kazura – Mwenyekiti wa Tathmini na Ufuatiliaji Mkoa
  • Insp. Emmanuel Mbanga – Mwenyekiti wa Idara ya Sheria na Katiba
  • Thomas Masondoka Deogratius – Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano
  • Gothard Ntaleka – Mwenyekiti wa Idara ya Elimu Mkoa
  • Mansoory Ahmed Abed – Mwenyekiti wa Itifaki, Uenezi na Uanachama
  • Ismail Shukuru – Katibu wa Itifaki Mkoa
  • Yohana Osmund Mlowe – Mwenyekiti wa Idara ya Afya Mkoa
  • Fred John Fidel – Mwenyekiti wa Idara ya Hamasa Vijana na Mahusiano ya Kimataifa
  • Mariam Joseph – Mwenyekiti wa Idara ya Jinsia Mkoa
  • Yohana Hamisi – Mwenyekiti wa Idara ya Saikolojia na Elimu kwa Umma Mkoa

MKOA WA MWANZA

  • Gasto Alex Didas – Mwenyekiti wa Mkoa
  • Agripiner F. Musita – Makamu Mwenyekiti
  • Hakimu Abdul Noor – Katibu wa Mkoa
  • Godfrey Julius – Naibu Katibu wa Mkoa

MKOA WA SIMIYU

  • Athuman Magembe – Mwenyekiti wa Mkoa
  • Winfrida Methusela Magesa – Makamu Mwenyekiti wa Mkoa
  • Kubilu Josiah Kigwasho – Katibu wa Mkoa
  • Levina James Mwamba – Naibu Katibu wa Mkoa

MKOA WA KAGERA

  • Felix Alesius – Mwenyekiti wa Mkoa
  • Silla Gabriel – Makamu Mwenyekiti
  • Fagence James – Katibu wa Mkoa
  • Leokadia Leonard – Naibu Katibu wa Mkoa

MKOA WA MARA

  • James Kigari Nyamushora – Mwenyekiti wa Mkoa
  • Joyce James Ngasa – Makamu Mwenyekiti
  • Simon Mnyanyasayi – Katibu wa Mkoa
  • Justine Pangras Mjindira – Naibu Katibu wa Mkoa

Uteuzi huu unalenga kuimarisha utendaji wa SMAUJATA katika Kanda ya Ziwa na kuhakikisha mafanikio katika utekelezaji wa majukumu yake.

Post a Comment

Previous Post Next Post