" MGANGA MKUU WA SERIKALI ASHIRIKI MKUTANO WA UK- AFRICA HEALTH SUMMIT 2025

MGANGA MKUU WA SERIKALI ASHIRIKI MKUTANO WA UK- AFRICA HEALTH SUMMIT 2025


Na Halima Issa, Misalaba Media 

Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe ameshiriki katika Mkutano wa UK-Africa Health Summit 2025 uliofanyika machi 18 na 19,2025 Uliojadili ushirikiano katika kuboresha sekta ya afya nchini.

 Mkutano huo pia umejadili vipaumbele vya Sera ya Afya kama vile kuimarisha afya ya msingi na kujengea uwezo watumishi wa sekta ya afya kwenye ubingwa bobezi kwa kubadilishana uzoefu, namna bora ya kuendelea kuboresha huduma za lishe na uimarishaji wa mifumo ya afya.

Katika mkutano huo Dkt. Magembe alikutana na Mganga Mkuu wa Serikali ya Uingereza Prof. Chris Whitty na Waziri wa Afya

🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA


Post a Comment

Previous Post Next Post