Rais Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek nchini Namibia kwa ajili ya kuhudhuria hafla ya uapisho wa Rais wa nchi hiyo, Netumbo Nandi-Ndaitwah leo.
RAIS SAMIA AWASILI NAMIBIA KWA AJILI YA UAPISHO WA RAIS MPYA NA MAADHIMISHO YA MIAKA 35 YA UHURU
Misalaba
0
Post a Comment