Wanamke KINARA 2024 Wilaya ya Kwimba Mkuu wa Shule ya Sumve Sekondari na Sumve high school Clotilda Komenkesha amepongeza Rais Samia Suluhu Hassani Kwa kujenga Bweni la Dkt Samia Shuleni hapo lakini Pia ameweza kujenga Miundo mbinu Mbalimbali ambayo ndiyo kichocheo Cha Shule hiyoo kufanya Vizuri Kila Mwaka.
BWENI LA DKT SAMIA KUCHOCHEA UFAULU SUMVE HIGH SCHOOL
Misalaba
0
Post a Comment