Mabingwa watetezi, Real Madrid wamevuliwa ubingwa wa Ulaya kufuatia kipigo cha jumla cha 5-1 dhidi ya washika Mitutu, Arsenal kwenye robo fainali huku Bayern Munich ikisukumizwa nje ya michuano hiyo kufuatia kipigo cha jumla cha 4-3 dhidi ya Inter Milan.
FT: Real Madrid 🇪🇸 1-2 🏴 Arsenal (Agg. 1-5)
⚽ 67’ Vinicius Jr
⚽ 65’ Saka
⚽ 90+3’ Martinelli
FT: Inter Milan 🇮🇹 2-2 🇩🇪 Bayern Munich (Agg. 3-4)
⚽ 58’ Martinez
⚽ 61’ Pavard
⚽ 52’ Kane
⚽ 76’ Dier
Post a Comment