" HECHE: POLISI WAMETUKAMATA KISHA KUTUTELEKEZA BARABARANI

HECHE: POLISI WAMETUKAMATA KISHA KUTUTELEKEZA BARABARANI

 Heche: Polisi Wametukamata Kisha Kututelekeza Barabarani


Baada ya kukamatwa na jeshi la polisi jioni ya leo kariakoo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche ameandika kwenye ukurasa wake wa (X) ujumbe huu.👇

“Ninawashukuru Watanzania wote, kwa mshikamono wenu wa kupiga vita udikteta katika Nchi yetu.

Polisi waliotukamata wamezunguka na sisi kwenye magari yao kisha kututelekeza barabarani.

Kesho saa saba mchana baada ya kikao cha viongozi wakuu wa chama tutazungumza na vyombo

vya habari, Msiogope hata kidogo, tutashinda vita hii.”_____John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA

Post a Comment

Previous Post Next Post