" POLISI WAANZA UCHUNGUZI SAKATA LA AFISA WA POLISI KUJIUA

POLISI WAANZA UCHUNGUZI SAKATA LA AFISA WA POLISI KUJIUA


Na Belnardo Costantine, Misalaba Media 

KENYA.polisi wanaendelea na uchunguzi baada ya Askari polisi aliye jiua baada ya kuwauua watoto wake wawili na mmoja wa jama yake katika eneo la Kakdhimu eneo Bunge la Rachuonyo, kaunti ya Homa Bay, Magharibi ya Kenya.

Kwa mujibu wa ujumbe uliopatikana  eneo la tukio  ulionyesha mzozo wa nyumbani kama sababu ya kuwaua watoto hao na kujitoa uhai.
 hata hivyo 2lwanafamilia wa askari polisi  huyo  wamethibitisha kwamba afisa huyo alikuwa anakabiliwa na migogoro ya kifamilia..

Post a Comment

Previous Post Next Post