" WAZAZI LETENI WANAFUNZI MESSA SEKONDARI SCHOOL

WAZAZI LETENI WANAFUNZI MESSA SEKONDARI SCHOOL



Na Mwandishi wetu, Misalaba Media

Kaimu Mkuu wa Shule ya Messa secondary School amewataka wazazi kuendelea kuamini, Shule za Messa Kwa maana zimekuwa zikifanya Vizuri nani Shule kongwe.

Akizungumza katika Mahafari ya kidato Cha Sita ambayo ambayo ni Mahafari ya 9 ambayo yamefanyika hivi Punde, Maneno Mabula, alisema uwepo wa hizi Shule zimekuwa na Mchango Mkubwa Kwa Wana Mwanza na Wa Tanzania kiujumla Kwa Kutoa Elimu Bora. 

Enosy  faustine Ambae ni Mzazi wa Mhitimu  wa kidato Cha sita amepongeza, Shule hiyo Kwa jinsi wanavyokuwa wanapata Ufaulu mzuri Kila Mwaka,  lakini pia Faustine   ametoa Pongezi Kwa Walimu wa Shule Iyooo jinsi  wanavyowalea watoto wao.

Chausiku Saidi, Ambaye ni Mhitimu wa Kidato Cha sita amesema Wana Imani,watashinda kwa Daraja A" Kwa maana Walimu wao wamewafundisha Kwa Nadharia na Vitendo  Ikumbukwe, kuwa kidato Cha sita  wanatarajia kufanya Mtihani  Mwaka Huu Mwezi wa 5.

 

Post a Comment

Previous Post Next Post