" Zuio la safari za usiku 1994 limeondolewa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan-LATRA

Zuio la safari za usiku 1994 limeondolewa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan-LATRA

CPA Suruo aweka mikakati ya kuendelea kuboresha huduma bora za usafiri ardhini


Na Mwandishi Wetu 


MAMLAKA ya Udhibiti wa  Usafiri Ardhini (LATRA) imesema kuwa katika  Serikali ya awamu ya sita imepata mafanikio kutokana na maono ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan

Akizungumza na Wahariri na Waandishi wa Habari katika Mikutano ya Taasisi za Umma inayoratibiwa na Ofisi ya Msajili wa Hazina Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo CPA Habibu Suruo amesema katika kipindi cha Minne wameweza kuboresha huduma ya usafiri ikiwa ni pamoja kuanzisha safari za Usiku zilizotolewa zuio za safari hizo mwaka 1994.

Amesema mafanikio yametokana na ushirikiano kutoka kwa wadau kwa kuweka mazingira rafiki yenye ushirikishaji katika kusimamia usafiri wa ardhini.

Amesema wadau hao ni watoa huduma katika sekta ya usafiri ardhini ambao  TABOA, TAT, TATOA, TAMSTOA, TRFA, AKIBOA, KIBOA, DARCOBOA, UWADAR, KIBABOT ambao wate wanasimamiwa 
LATRA katika  ofisi  26 katika mikoa yote  ya Tanzania Bara.

Aidha amesema katika kipindi hiki wataenzi 
 ushirikiano uliopo katika kutekeleza majukumu ya
Udhibiti Usafiri Ardhini Sura 413 ili kudhibiti huduma za usafiri kwa njia ya Reli katika kuendelea na juhudi za kusogeza huduma za LATRA karibu na wananchi katika kujenga Taifa lenye umoja, mshikamano, utulivu na amani ya kudumu.

 Hata hivyo amepongez Wamiliki wa vyombo vya usafiri ardhini 
Mtwara,Ifakara(Morogoro), Korogwe (Tanga), Same (Kilimanjaro), na Nzega na miji na wilaya nchini ikiwa ni pamoja  ambapo ofisi kumi (10) na taratibu za kuanzishaOfisi zingine tano(5)zinaendelea katika maeneo ya Gongo la wananchi kwa kufungua ofisi katika maeneo ya kimkakati kwenye baadhi Halmashari.


Aidha amesema Serikali ya Awamu ya Sita watasimamia usafiri wa wa waya kwa weledi  kwa kuzingatia Sheria, Kanuni, Taratibu zilizopo.


Amesema kwa kutambua umuhimu wa usafiri katika wamewezesha kuanzisha huduma katikac mikoa 
Dar es Salaam Gongolamboto kwenda  Mkuranga (Pwani), Chunya (Mbeya), Mufindi (Iringa), na maeneo ambayo ni Makambako(Njombe), Kahama(Shinyanga), Masasi,
Nyakanazi (Kagera).

Hata huvyo Suruo amesema dira ya msingu  kutafuta njia bora za kuongeza thamani ya huduma bora ya usafiri wa ardhini.

"Tunafanya kazi kwa pamoja ili kufikia malengo yetu 
Serikali ya Awamu ya Sita chini yaUongozi waMhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan"amesema

Amesema LATRA ina wajibu wa kutoa, kuhuisha, kusitisha na/au kufuta leseni ,
ukuzaji wa ushindani kwa ajili ya ustawi waTanzania.
Katika kipindi miaka minne wametoa leseni la ongezeko  108,658 sawa na aongezeko la asilimia 48.

Aidha wameongeza huduma usafiri kwa kuanzisja safari mpya za 
Toangoma –Pugu Steshenikupitia barabara ya Kilwa, Nyerere
viii)Mvuti -Machinga Complexna Tabata Segerea,Gerezani -Bunju Sokonikupitia Barabara ya Bagamoyo,
Mbezi Luis–Kisarawe kupitia barabara ya Malamba Mawili, Banana katika Mkoa wa Dar es Salaam.

Amesema LATRA imeendelea kuboresha usafiri wa umma katika miji na majiji makubwa ikiwa kuboresha udhibiti wa bodaboda, kutatua migogoro ya wadau katika maeneo hayo, 
kufika maeneo yasiyofikika na kurefusha baadhi ya njia kwa lengo la kuumpunguzia
gharama za usafiri mwananchi.

Amesema 
madereva 4,563 walifaulu mitihani ya LATRA kati ya 9,191 waliofanya huku 
Mikoa yote 26 Tanzania Bara hadi kufikia  31 Machi, 2025 madereva 33,778 wamesajiliwa na kupata leseni Kati ya hao  madereva 8,172 wamesajiliwa kwenye Mfumo na waalifaulu na 
mitihani huo (sawa na ufaulu wa asilimia 49.65) na kupatiwa vyeti vya kuthibitishwa. 
Kufuatilia Mwenendo wa Mabasi (VTS) na kupatiwa Kitufe cha Utambuzi wa Dereva.


Amesema Usimamizi wa Usafiri wa Mabasi usiku na Mchana (24/7) imekuwa ikitoa mtihani 
 ikiwasajili madereva na baadae kuwapatia vyeti vya kuthibitishwa 
Muhtasari wa taarifa za madereva waliofanya mitihani na kufaulu/kuthibitishwa katika 
Kuthibitishwa.

Hata hivyo amesema usimamizi wa mabasi nyakati za siku. LATRA ilishiriki katika zoezi la kufanya maandalizi ya kuanza kwa safari za 
safari za saa 24 wako tayari pia kuzingatia Sheria, Kanuni na Miongozo kuhusu 
Kufuatilia Mwenendo wa Mabasi (VTS) unaofanyakazi kwa saa 24 usiku na mchana (24/7) kuanzia1 Oktoba, 2023. 




Post a Comment

Previous Post Next Post